Hii ni picha inayobeba Taswira kwamba Mafanikio mengi inayopata IRUWASA ni kwa sababu ya kuthubutu katika mambo mengi
IRUWASA iImeshika nafasi ya pili kati ya Mamlaka za MajiSafi na Usafi wa Mazingira zinazofanya vizuri zaidi katika nchi za Afrika Mashariki na Kati na Kusini mwa Afrika
Mkuu wa Mkoa wa IRINGA Mh. Kheri James pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziriwa wakizungumza jambo katika hafla ya uzinduzi wa Bodi ya 10 ya IRUWASA April 2026
Mkuu wa Mkoa wa IRINGA pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji wakikabidhi zawadi kwa Mkurugenzi Mtendaji wa IRUWASA Mhandisi David Pallangyo katika hafla ya uzinduzi wa Bodi ya 10 ya IRUWASA. Nyitambe katika hafla ya uzinduzi wa Bodi hiyo
Mhudumu katika Kituo cha miito ya IRUWASA akipokea simu za wateja. Kupata huduma hii piga namba: 0800110122
Hili ni eneo la Uzalishaji na kutibu Maji liliopoNdiuka mjini IRINGA
Huu ni mtambo wa kudaka maji kutoka kwenye mto uliopo eneo la Ndiuka