Mkuu wa kitengo cha mawasiliano na mahusiano kwa umma akitoa elimu kwa wananchi wakijiji cha Chamndindi Isimani
Mkurugenzi Mtendaji wa mamlaka ya maji na usafi wa mazingira akiwa amepokea mwenge wa uhuru katika uzinduzi wa kituo cha maji cha umma, eneo la Ikokoto huko Ilula
Katibu Mkuu Wizara ya Maji. Mha. Mwajuma Waziri (kulia) akikabidhi Tuzo na vyeti kwa IRUWASA baada ya kuibuka mshindi wa kwanza