Mkurugenzi Mtendaji Eng David Pallangyo akiwa amepokea Mwenge wa Uhuru wa mwaka 2022 akiwakilisha Watumishi wa IRUWASA Pamoja na BODI ya IRUWASA baada ya uzinduzi wa mradi wa usambazaji wa maji eneo la IKOKOTO-ILULA, Ambapo IRUWASA ilipongezwa sana na Viongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa baada ya Kufanya vizuri.Tukio hili limefanyika tarehe 04/09/2022
Wakurugenzi wa Bodi ya IRUWASA walipotembelea miradi mbalimbali inayosimamiwa na IRUWASA tarehe 26/05/2021
Wakurugenzi wa Bodi ya IRUWASA wakiwa pamoja na Menejimenti walipotembelea Mradi wa Maji wa ISIMANI KILOLO kwa ajili kuona maendeleo ya mradi huo
Sehemu ya Mradi wa ujenzi wa chujio la Maji eneo la Ndiuka ambalo limekamilika kwa asilimia 92.
Wafanyakazi bora wa IRUWASA kwa mwaka 2020/2021 waliotambulishwa siku ya sikukuu ya Wafanyakazi (MEIMOSI) tarehe 1/05/2021.
Watumishi wa IRUWASA wakisikiliza kwa makini hutuba ya Mkuu wa mkoa wa Iringa alipoitembelea IRUWASA kwa ajili kuangali hali ya huduma katika Mamlaka hiyo